// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAPOKEZI YA YANGA LEO UWANJA WA NDEGE, NYOMI LA KUFA MTU! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAPOKEZI YA YANGA LEO UWANJA WA NDEGE, NYOMI LA KUFA MTU! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAPOKEZI YA YANGA LEO UWANJA WA NDEGE, NYOMI LA KUFA MTU!
Mashabiki wa Yanga 'wakimgombania' kipa wa timu yao, Deo Munishi 'Dida' wakati timu ilipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo kutoka Angola ambako iliwatoa wenyeji Sagrada Esparanca mjini Dundo juzi kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya kushinda 2-0 nyumbani na kufungwa 1-0 juzi ugenini, hivyo kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
Dida akiwaonyesha ishara ya upendo mashabiki wa Yanga baada ya kutoka nje ya JNIA
Nahodha Nadir Haroub Cannavaro akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Kiungo kutoka Rwanda, Haruna Niyonzima akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Beki Vincent Bossou kutoka Togo akitoka ndani ya JNIA kuelekea kwenye basi
Mashabiki wa Yanga wakiliongoza basi la wachezaji wao kuelekea makao makuu ya klabu, Jangwani
Mashabiki wa Yanga wakaifuaria kwa shangwe mbele ya basi la wachezaji wao likielekea Jangwani
Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko akielekea kwenye basi baada ya kutoka nje ya JNIA
Shabiki huyu alidandia kwenye kioo cha basi ili awapongeze wachezaji wa timu yake
Raya: I always tell Rice to shoot more!
-
David Raya on our stunning win over Real Madrid in the Champions League
which puts us in a great position into the second leg
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment