Kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-1 dhidi ya West Ham United usiku wa Jumatano Uwanja wa Upton Park kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England. Bao lingine la Man United limefungwa na Marouane Fellaini, wakati la West Ham limefungwa na James Tomkins na sasa Mashetani Wekundu watacheza na Everton katika Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs and Rio Ferdinand name the Man City star who is '100%' a Man
United player because he 'wants it'
-
The Red Devils legends discussed a number of topics, including current
affairs such as the form of Alejandro Garnacho, the best midfielders in the
Premier ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment